0


Diamond Platnumz na Rich Mavoko ni miongoni mwa wasanii waliotoa video kali mwaka huu. Pamoja na Mdogo Mdogo na Bum Bum, Ntampata Wapi imekuwa video iliyopokelewa vizuri zaidi mwaka huu. Naye Rich Mavoko amefanikiwa kuwa na video kali zaidi katika career yake, Pacha Wangu. Zote Ntampata Wapi na Pacha Wangu zimetumia mamodel warembo wa Afrika Kusini. Lakini nani ni mrembo zaidi? Melissa wa Diamond au Jane wa Mavoko? Tazama picha zao hapo chini na funguka kwenye comments.
010
003



046
045
043
040
037
033
028
027
024
023
022
021017
016
055

102
101
099
065
068
085
088
093
094
096
020
024
044
061

Post a Comment

 
Top